swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/20.txt

1 line
373 B
Plaintext

\v 20 Pilatoakaba uliza tena mara ya pili kwa sababu alipenda kumwacha Yesu. \v 21 Na bote bakalalamika kwa nguvu, umutunduke kumusalama, atundikiwe kumusalaba akufe. \v 22 Pilato akabauliza tena mara ya tatu, mambo kani ya mubaya yenyewe ana fanya? Miye sione ata kosa moya kwake yenyewe ana fanya ya kuweza kumuhuwa, njo kwamanita mupikisha tu fimbo na kisha nita mwacha.