swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/06.txt

1 line
221 B
Plaintext

\v 6 Wakati Pilato akisikiya mambo iyi, aka uliza mutu ule alikuwa wa Galilaya. \v 7 Nawakati alisikiya kama Yesu eko mutu wamugini ya Heroda, naye aka mutuma kwa mufalalme Herode, kwasababu masiku ile alikuwa Yerusalema.