swc_luk_text_reg_Uncomplete/20/41.txt

1 line
330 B
Plaintext

\v 41 Yesu akabaambia, "juya nini banasema kama Kristu ni mutotot ya Daudi?» \v 42 Kwa kuwa Daudi yeye peke anasema ndani ya kitabu kya zaburi: Mfulame amamwambia Mfalme wangu: Ikala ku mukono ya kiume yangu, \v 43 mpaka niangushe baaduiyako chini ya mikulu yako. \v 44 Daudianamwita Kristo Mfalme, basi atakuya Mutoto wa Daudi?