swc_luk_text_reg_Uncomplete/20/29.txt

1 line
304 B
Plaintext

\v 29 Lakini, kulikuwa na bandugu saba, wakwanza akaoa, na akakufa bila mutoto. \v 30 Wapili vie vile. Na wa tatu akamoa tena, \v 31 ilikuwa vile vile kwa bote saba, balikufa bila kuza batoto. \v 32 Nyuma kidogo bibi anakufa. \v 33 Siku ya ufufuka atakuwa bibi ya nani? sababu bote balikuwa babwana yake.