swc_luk_text_reg_Uncomplete/20/19.txt

1 line
330 B
Plaintext

\v 19 Njo vile baandishi na bakubwa ya maku hani balitafuta njia ya kumufunga wakati ile, balijuwa ya kama alikuwana sema mfonohuyu ju yabo. Lakini bakaogopa batu. \v 20 Banamuangalia kwa makini, bakatuma bapelilizibenye banajigeuza kama batu ya haki, ju bapate makosa kwa hotuba yake, ju bamupeleke kwa batawala na benye mamlaka.