swc_luk_text_reg_Uncomplete/18/22.txt

1 line
265 B
Plaintext

\v 22 Wakati Yesu alisikiya hivi, akasema: inakukosa tena kitu moya. Uzisha bitu yote ukonabyo na kubikabula kwa bamasikini, na utakuwa na hakiba mbinguni, kuya, unifate. \v 23 Lakini wakate ule tajiri alisikiya vle , akahuzunika sana, sababu alikuwa tajiri sana.