swc_luk_text_reg_Uncomplete/17/28.txt

1 line
208 B
Plaintext

\v 28 Hata wakati wa Luta, batu bali kula, kunywa, kuuza na kuuzisha, kupanda mavunu na kuivuna. \v 29 Lakini siku Luta alitoka mu Sodoma, ilii nyesha nvuwa ya moto na ya pepo kutoka mbinguni na kubauwa bote.