\v 3 Mujichunge, kama ndugu yako ikifanya kosa, umushauriye, akaomba musamaha, umuhurumiye. \v 4 Kama anakukoseya mara saba, kwa muchana moya, na mara saba akarudiya na kulomba unmusamehe, kusema natubu, unastahili kumusamehe.