|
\c 17 \v 1 Jesu alisema na banafunzi lake: kweli kuna maneno yenye inaweza kutokeye, na kutuleteya Zambi, lakini hurumu kwa mutu atakaye ileta. \v 2 Inastahili afungiwe jiwe kabwa ku shingo, na atupiwe ku bahari, kuliko kumwacha aendeleye kuangusha batu ku Zambi, bale wadogo. |