swc_luk_text_reg_Uncomplete/11/43.txt

1 line
252 B
Plaintext

\v 43 Ole wenu ba farisayo, dju muna pendaka kupata fasi ya kwanza ndani ya synagoga na ma salamu ya hechima kuma heneyo ya batu bote. \v 44 Ole wenu dju muko kama vile na kabuli yenye aina ata alama ambayo batu bana tembeya yulu ya yo bila kudjuwa.