swc_luk_text_reg_Uncomplete/11/18.txt

1 line
379 B
Plaintext

\v 18 Kama chetani ana jigabula yemwe nyewe , sa ufalme yako atasima ma tena? Dju mu na sema na fukuza pepo mubaya ku Belzebul. \v 19 Kama mina fukuza pepo mabaya ku Belzebul na munu gani ba na fukuza mapepo mabaya ku ji na ya gani . Dju la ile, bata kwa basambishi yenu . \v 20 Lakini kama mina fukuza mapepo ku kidole ya mungu, basi ufalme wa mungu ili kuya dju yenu .