swc_luk_text_reg_Uncomplete/10/33.txt

1 line
451 B
Plaintext

\v 33 Mtu wa tatu, msamaria, alikuwa naye katika safari, apita pale kwenye kulala ule mtu, wakati alipo muona, akasikwa na uruma. \v 34 Akamusogeleya na kumutunza vidonda na kuifunga, na kumupakala mafuta na divayi na kumutia juu ya punda yake, na kumu beba palipo nyuma ya wageni na akamulisha. \v 35 Siku zakupita akatowa danari mbili, akapatia mwenye nyumba na akasema naye: mukulishe na yote atakuwa juu kwa kulipa wakali nitarudia atarudisha ayo.