swc_luk_text_reg_Uncomplete/10/17.txt

1 line
374 B
Plaintext

\v 17 Kwa furaha wale makuru saba, wakakulia na kusema: Mukubwa, ata pepo chafu wanatii kwa jina yako. \v 18 Yesu akasema niliona shetani kushuka toka mbingu sawa bombe. \v 19 Nina wapatia uwezo kutembeya juu ya nyoka, nge na uwezo kwa yote ya giza na akuna kitu kitawasumbuwa. \v 20 Musiwe na furaha sababu pepo chafu wanatii, mu farahi kama nyina yenu inaandikwa kumbingu.