swc_luk_text_reg_Uncomplete/10/05.txt

1 line
327 B
Plaintext

\v 5 Mukingia ndani ja nyumba, museme kimia iwe ndani ja nyumba. \v 6 Na kama mutu wa kimia ako pale, kimia itabaki pale, kama aiko vile kimia ile itawarudilia niye. \v 7 Mukale ndani ja nyumba ile na kunwa yote wata wapatia sababu kila mu mutumishe anasitahiri kupewa musaada yake musitoke mpaka wakati siku za kutoka inaenea.