\v 9 Njo wana funzi wake waka mu uliza maana ya mfumbo hii. \v 10 Aka wa ambiya : «Kwe nu myenye, bane mipa kujuwa koma siri ya ufalme wa mungu, lakini ku bale benini, ni mfumbo tu juu, pa kwangaria, basi one kitu, pa kusikiya, bashi sikilize kitu.