swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/07.txt

1 line
249 B
Plaintext

\v 7 Mbeko ingine ika anguka katika mi iba. miti ya mi iba ika ota an kufunika ile mbeko. \v 8 Lakini ingine nayo ika anguka ku bulongo muzuri na ika zala matunda mara mia ku mwisho Yesu akalalamika na kesema «Wa masikiyo ile ya kusikia, asikiye».