swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/01.txt

1 line
499 B
Plaintext

\c 8 \v 1 Kisha masiku kiloko, Yesu aka enda safari kupita ku mingini ya munene na ya kiloko, kwenda kubiri na ku itangaza habarinjema ya ufalme wa Mungu. Banafunzi yake bote bali eana bote kumi na mbili. \v 2 Na pale banamuke ba moya bale bali poneshewa ku magonjwa na ku mapepo muchafu: saw malia waku Magadala ule bali mutoshaka demona saba. \v 3 Na Yoane, bibi wa kuza, wakuchunga bitu bya mu nyumba ya Herodi, na suzana, na bengine bamingi. bali toshaka bitu byabo na kulisha Yesu na batu bake.