swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/21.txt

1 line
485 B
Plaintext

\v 21 Na wakati ile Yesu alikuwa akiponya batu ba mugonjwa mbali mbali na ku fukuza mapepo chafu, nabale bote kiwa bipofu baka ona. \v 22 Yesu akabajibu na kusema, wakati mutarudiya kwenye mulitika mwende muka mwambiye Yohana mambo yote munaona, na kusikiya, Bipofu bana ona, bilema banatembeya babukoma banaposhwa, ba sipo sikiya, bafu bana fufuka, na kuwa tena bazina, masikini banapewa habari nsema. \v 23 Na habarikiwe mutu wote anaye nyamini mimi kwa sababu ya matendo ya maajabu.