swc_luk_text_reg_Uncomplete/05/20.txt

1 line
226 B
Plaintext

\v 20 Aliangali imani yabo, Yesu alisema: "mutu, zambi yako inasemelewa" bafarisayo na bandishi baka anza kusema sema: " yeye ni nani, uyu, mwenye anatukana Mungu?". \v 21 Una anaweza kusameta mazambi kama aiko Mungu ye peke?"