swc_luk_text_reg_Uncomplete/05/08.txt

1 line
481 B
Plaintext

\v 8 Lakini Simoni Petro, wakati aliona ile najitypa ku migulu ya Yesu na akasema: "zogeya mbali na miye, bwana, dju niko mufanya zambi". \v 9 Alishangala na benye balibalikwa naye pamoya dju ya ki loba samaki yenye balifanya. \v 10 Na balikwona Yakobo na Yoani, batoto ya Zebedayo bote baloba samaki na Simoni. Kisha Yesu aka semama Simoni: "usiogope djunda kufanya muloba ba samaki mwana ume". \v 11 Wakati balienda ku leta mashua yabo ku bulonggo, bali atsha yote, na ku mufate.