swc_luk_text_reg_Uncomplete/04/05.txt

1 line
359 B
Plaintext

\v 5 Kisha habilisi shetani aka mubeba yule , ya mulima na aka monesha makao ya duniya muzima. \v 6 Shetani akamwambiya nita kupa ufulme wa duniya mzina na uta itawela kwasababu duniya muzima iko chini ya ulingi wangu na nita weza kumupa mutu yoyote minapenda aitawale. \v 7 Lakini kama una nipigiya magoti na kuni ni abudu ita kuwa chini ya ulinzi wako.