swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/27.txt

1 line
304 B
Plaintext

\v 27 Siku ile, Simeoni aka sukumiwa na roho mutatifu a kuye mu hekalu. Na njo saa bazazi beko naleta mtoto Yesu juu ba enesheye kila kitu sheria inalomba. \v 28 Aka mubeba mtoto mu mikon yake, aka mwabudu Mungu na kusema . \v 29 «Bwana sasa acha mutumishi wako ende na kimkia kufwatana na kusema kwako.