swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/78.txt

1 line
260 B
Plaintext

\v 78 Na Mungu wetu atatu hurumia kupitia ku rehema yake. Na ile rehema itafa nanishwa na jua ya asubuyi ju ya kuangaza toka ju mbinguni. \v 79 Na ataangaziya bale bote beko katika ngiza na mu kinvuri ya mauti. Na ju ya kuongoza mi guu yetu kwa njia ya salama.