swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/39.txt

1 line
260 B
Plaintext

\v 39 Na wakati ile Maria arienda kuingiya mu muji wa mulima wa Yudea. \v 40 Aringiya kunyumba ya Zakaria na arimulamukiya Elizabeti. \v 41 Kisha Elizabeti kushikia jambo ya Maria, na mtoto aritingizika ndani ya mimba. Na Elizabeti arijazwa na roho mutakatifu.