\v 8 Zakayo akasimama mbrle ya Yesu na kusema: «bwana, ona , na wapa nusu ya mali yangu wa masikini, na kama nalimu nyangasa pesa ya mutu, nita murudishaya pesa lake mara ine. \v 9 Yesu akasema: Leo wakavu imeingiya ndani ya nyumba hiyi. \v 10 Sababu mutoto ya Arahamu. Sababu Mutoto ma Mutu alikuya kutafuta na kuwokawa wapotevu.