Tue Mar 03 2020 07:46:52 GMT-0500 (EST)
This commit is contained in:
commit
77263e19e6
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 6 \v 1 Kwa kuwa Yesu alikuwanapita siku ya sabata ku mashamba ya nafaka, nan banafunzi wake balikuwanacima masake na kuiyasuguasugua kati ya mikono na kuikula. \v 2 Bamoja ya bafarisayo bakasema: «Jya nini munafefanya biti enye inakataliwa na sheria siku ya sabata?»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 3 Yesu anbajibia na akasema, « Hakusoma enye Daudi alifanya wakati alisikia njala, yeye na batu yake? \v 4 Alingia mu nyumba ya Mungu na akakamata mikate mitakatifu akaikula na anabapatia batu yake, hata koma ilikuwa alali kwa makuhani kuikula.» \v 5 Kisha akabaambia: Mutoto wa Mutu ni Mfalme wa sabata»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 6 Siku ingine ya sabata, Yesu alingia ndani ya sinagogi na akafundisha batu. Pale kulikuwa matu moja mwenye muko,no wake ya kulia ilikatika na imeregeya. \v 7 Baandishi na ba farisayo balikuwa banamwangalia Yesu kwmakimi ju ya kuona kama atamu ponesha mutu siku ya sabata, kwa ajili ya kupata sababu ya kumustaki kwa sababu anavunja sheria. \v 8 Lakini alijua mawazo yabo na akamwambia ule mutu,«Lamuka, simama hapa kati ya aba bote» huyo mutu analamuka na akasimama pale.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 9 Yesu akabaambia,«Nabaliuza ninyi, inaruhisiwa siku ya sabato kufanya mazuli au kufanya madahara, kuponyesha maisha au kuipoteza?» Kisha akabaagalia bote na akamwambia ule mutu, \v 10 « Nyolisha mukono wako.» Akanyolosha mukono na akapona. \v 11 Lakini baliyazwa na hasina, bakaseme sana bao banyewe kuhusu nini ya kufanya na Yesu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 12 Inafika ilie siku enye Yesu alienda kuomba yulu ya mulima , na akaipitisha usiku mzima kuomba Mungu. \v 13 Asubuhi, akbaita banafunzi wake na akabachagua kumi na mbili ndani yabo, benye alibaita pia « Batume»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 14 Bajima ya bale batume ilikuwa simoni (mwenye alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yokobo, Yohana, Filipo, Bantolomoyo, \v 15 Mathayo, Tomaso, na Yako mutoto waAlfayo, Simoni, mwenye alitwa zelote, \v 16 Yuda mutoto wa Yakobo na Iskariote, mwenye alikuwa msaliti.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 17 Kisha Yesu alitemuka pamoja nabo kutoka mulima na kusimama fasi tambanane. Kikundi kabambi ya banafunzi balikuwa pale, pamoja na kikundi kabambi ya batu kutoka uya hudi na Yerusalemu, na kumusitoka pwani ya Tirona sidoni. \v 18 Balikuya musikiya na kuponyeshwa na magonjwa yabo. Batu balikuwa banateswa na mapepo chafu balipona pia. \v 19 Kila moja kwenye ali kikundi alikuwanatafuta kumusa, kwa sababu nguvu enye ilikuwa natoka mwake na kubaponyesha wote.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 20 Kisha akabaangalia banafunzi yake, nakusema, « Munaribikiwa ninyi ba masikini, kwa maana ufalme wa Mungu iko yenu. \v 21 Munabarikiwa ninye benye muko na njala sasa, kwa maana mutashiba. Muna bariki ninyi banye munalia sasa, maana mutacheka.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 22 Munabarikiwa ninyi benye batabachukia, kubatupa tubatukona kama bapagano ju ya Mutoto wa Mutu. \v 23 Mufurahi kwa ile siku namuruke na furha, kwasabu malipo iko mbinguni, kwa maana ba baba yabo balifanya vile vile na banabii.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 24 Ole yenu yenu batajiri! kwa sababu mutaikuwa na njala nyuma. \v 25 Ole ya bale banacheka sasa sababu batalia na batakuwa mu kilio nyuma.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 26 Ole yenu wakati batu bote banasema buzuli bwenu! Kwa maana baba yabo balifanya banabii bongo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 27 Lakini nabaambia ninyi benye munanisikia, mupende badui yenye na mubafanye masuli kwa bale benye mubafanyemazuli kwa bale benye banabashikia. \v 28 Mubariki bale benye banabaloumuna mubaomba bale banabatesa.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 29 Mutu akikupiga sharu moya, umugeuzie na ingini ya pili. \v 30 Kama mutu anakunya nganya joho yako, usimukaze na kanzu yako. Mupatie mwenye anakulomba. Mutu akikunyanganya bitu yako, usilombe akurudishie.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 31 Enye unapenda bakufanyize, uiya ifanya na bengine. \v 32 Kama munapenda tu bale benye banapenda, ile ni malipo gani kwenu ? Sababu hata bapagani banapenda bale benye banapenda. \v 33 Mutapata nini kwa kufanya uzuri kwa bale tu benye banabafanyiziaku uzuri? Kwa sababu hata bapagano pia bana fanya vile. \v 34 Faida gani mutapata kwa kukopesha mutu ju abrushie tena? Hata bapagano banakopeshana bao benyewe na banachunga kupokea sawa sawa na makuta enye balikopesha.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 35 Lakini mupende baadui benu mubafanye muzuri. Mubakoeshe beta kuchunga babarudishie na malipo yenu itakuwa kabambi . \v 36 Mukuwe na huruma, kama baba yenu anayo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 37 Musisambishe na habatabasambisha. Musilaani, na niye hamutalaaniwa. Musamehe ju mutasamehewa.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 38 Mabape bengine na batabatia. Iyi njo kiasi kizuzuhi kenye kitamwa mu magoti yanu kwa sababu kwa kipimo yeyote enye mana tumia kwa kupima, kwa ile ile kipimo nyo batabapimia niye.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 39 Akabaambia mfana.« Mutu wakukufa macho ataweza kumwongoza mwenze yake wa kukufa macho?Akafanya vile bote ba wili bataanguka mu shimo moja? \v 40 Mwanafunzi hawezikuwa mukubwa kupita mwalimu wake, lakini mutu yote akifushwa kwa uka milifu atakuwa mwalimu yake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 41 Ju ya nini basi unaono kibanzi ndani ya macho ya nduguyake na hauone boriti (buchafu) enye iko mu masho ? \v 42 Namuna gani unaweza kusema ndugu nikutishe buchafu ku macho yaka kama haone enye iko ku machowako? Munafiki (Mutu sura mbili)! Tosha kwanza buchafu mwako, kisha utoshe ya mwenze wako.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 43 Hakuna muti muzuli enye inatosha matunda mabaya, wala muti mubaya inatosha matunda mazuli . \v 44 Kila muti inajuilikana kwa matunda yake peke. kwa sababu habaweze kuchuma tini kutoka ndani ya miba, wala habawezichuma zabibu kutoka kwenye michrigoma
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 45 Mutu muzuri na mambo mazuri mu roho yake na anatoshaka tu mambo mazuri, na mutu mubaya anatosha mambo mabaya, kwa sababu kwa kuyazwa wa roho syo kinywa inasemaka.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 46 Kwa nini mu na niita "Mfalme, Mfale", na hamufanye enye na baambia? \v 47 Mutu yote mwenye anakuya kwangu, mweny anasikia neno yangu, na anaitia ku kazi, nitabaonyesha na ule mutu mwenye anafanana naye. \v 48 Ana fanana na mutu mwenye wakati nvula kabambi na mupepo ya ngufu inapika, haikuweza kuaangusha nyumba sababu ilijengewa muzuli.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 49 Lakini ule mwenye anasikia neno yangu bila kufanizia anafanana na mutu mwenye alijenga nyumba yake yulu ya bulongo bila msingi (lijiwe). Mwana mpepo wa nguvu inakuya na inavuvundikama yote.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 6
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 7 \v 1 Kisha Yesu kumaliza mambo yote alikuwa na sema kubale,benyewe balikuwa na musikiliza, aka inji ya Capernaumu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 2 Tazama kulikuwa mukubwa moja waba asikari, alikuwa na mutumishi wake moja ali kuwa mugonjwa karibu na kufa. \v 3 Na wakati mukubwa waba askari alisikiya abari ya Yesu, aka tuma bazee ya Yuda, bamu ombe Yesu akuye kuponesha mutumishi wake. \v 4 Wakati balifika karibu na Yesu, baka muliliya sana kwanguvu, bakisema, anastahili umufanyizeye mambo yenyewe ana kuomba kwa ajili ya mutumishi wake, \v 5 kwasababu ana penda sana taifa yetu na niyeye njoo alitujengeya inagogi mugini yetu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 6 na Yesu akaenda nabo njiya moja, na wakati balifika karibu na nyumba, mukubwa waba askari ule alibatuma akakuya tena na Yesu akisema: « Bwana usi jichoshe na kutembeya kwa ajili ya kufika kwangu, kwasababu sina mwenye haki, juu weye uingiye ndani ya nyumba yangu. \v 7 Nikwa sababu ya hiyo njooatami, mwenyewe, sikuweza kuya kwako, lakini na mutumishi wangu atapona. \v 8 Kwa sababu na miye vile vile niko naba askari chini ulizi wangu, nikisema na moya kuya na ana kuya nikisema na mwzngine kwenda naye anaenda na nikasema na mutumishi wangu fanya ivi na anafanya vile.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 9 Wakati alisikiya na sema ivi aka shangaa sana, akageuka na kuhangalia batu yote balikuwa na mufwata, akisema, hata katika israeli bado siya ona mutu mwenye kuwa na imani mukubwa sawa huyu. \v 10 Nakisha bazee bale balitumiwa, bakarudya na baka kuta mutumishi ule kuwa mugonjwa ana pona.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 11 Kisha wakati kidogo Yesu akaenda ku muji, moya unaooitwa Naïni,banafunzi bakaenda pamoja naya na na ba kaanza kuongeya na kikundi kya batu. \v 12 Nawakati balifika pembeni ya mulongo wa mugini ule. baka kutana na mahiti ya mutoto mwanaume wa mama moya mujane (veuve), alikuwa na mutoto mpaka moya tu, na mohiti ilikuwa ya kubebe wa nabatu bamingi sana. \v 13 Wakati Yesu akaona mama uyu mujane mulikuya, aka musogeleya musikiliya uruma sana, na akisema naye «Ulisikiye.» \v 14 Kisha aka sogeya pembeni ya sanduku ba kasimama, kisha Yesu akasema naweye lamuka. \v 15 Mukufi aka sibina aka toka ndani,ya sanduku na akanza kuongeza, na kisha Yesu aka mupatishia mama yake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 16 Kisha batu bote baka ogopa na baka anza kutukuza Mungu; baki sema, nabii mutukuza, ana jito keza nadani yetu, na Mungu, ana kumbuka batu bake . \v 17 Habari iyi Yesu ili tawala katika miji yute ya Yuda na majimbo yote ya pambeni.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 18 Bana funzi ya Yohane baka mwambiya yaono mambo yote iyi. \v 19 Naye akatuma bana funzi bake bawili mwende muka mulize Bwana asema weye njoo uju tuko na chuga ao kuko mwengine mwenye kuya nyuma ? \v 20 Wakati bakafika pembeni ya Yesu bakasema, Yohane mbatizayi ana tutuma kwako kusesa, weye njoo ule ata kuya ao kuna mwengine tumu chuge?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 21 Na wakati ile Yesu alikuwa akiponya batu ba mugonjwa mbali mbali na ku fukuza mapepo chafu, nabale bote kiwa bipofu baka ona. \v 22 Yesu akabajibu na kusema, wakati mutarudiya kwenye mulitika mwende muka mwambiye Yohana mambo yote munaona, na kusikiya, Bipofu bana ona, bilema banatembeya babukoma banaposhwa, ba sipo sikiya, bafu bana fufuka, na kuwa tena bazina, masikini banapewa habari nsema. \v 23 Na habarikiwe mutu wote anaye nyamini mimi kwa sababu ya matendo ya maajabu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 24 Wakati bana funzi ya Yohane bakarudiya, Yesu aka anza kusema kwa ajili ya Yohane mbele yabatu bote, kitu gani mullienda kwangaliya pangwani? muti yenye ku tikisika na pepo ? \v 25 Sasa mulienda kwangaliya nini ? kwangaliya mutu mwenye kuvala manguo ya beyi, kwasababu batu banye kuvalava manguo babeyi ao ya muzuri ikalaka ndani ya manyumba ya ba falme. \v 26 Basi mulienda kule kwangiliya nini ? nabii, kweli nina baambiya uyu pita ata nabii.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 27 Huyu njoo mutu ule mandiko ilisemaka tazma na tuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, yeye ata tengeneza njiya kwa ajili yangu. \v 28 Na myambiya, mutu wote aliye zaliwa na mwanamuke akuna mukubwa kupita Johano lakini ule mwenye ata mudogo mu ufalme wamungu yeye ana mulita Yohano bukubwa.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 29 Wakati batu bote baka sikiya ivi, pamoja naba kongolaji kodi bakasema na kutangaza ya kama Mungu ni mwenye haki kabisa . Na kulikuwa pale batu baliyobatizwa na Yohano. \v 30 Lakini bafarisayo na bahandishiya sheria ya ba Yuda bale basipo pata ubatizo wa Yohano bakapinga kabisa mambo ya Mungu kwasababu ya kujuwa mingi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 31 Tena nitaweza kuba nafananishana nini ? batu yz kizazi iki ? banafanana na, nini? \v 32 Bana fanana an, nabatoto benye kucheza katika soko, bana ikala na kuitana moya kwa moya, bakisema, tuna pikafilimbi juu yenu lakini amukuya kucheza, tunaimba mimbo ya kiliyolakina amuliye.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 33 Yohana mubatizazi alikuya akuandukula chakula, wala akuwa na kunywa pombe na mukasema, eko nomopepo muchafu. \v 34 Mtoto wa Mutu ana kuya na ana kula na kunywa, lakini munasema nimulafi, na ni mulevi, rafiki ya ba ko,golaji kodi na bapagano. \v 35 Lakini hekima ina onekana na kutambulikana kuwa haki ku batoto bake bote.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 36 Mutu moja waba farisayo aliomba Yesu bende ba kakule pamoja naye, kisha Yesu kuingiya ndani ya nyumba ya farisayo akaikala kumeza kwa ajili ya kula, \v 37 angaliya kulikuwa mwanamuke moja wa zambi ndani ya muji ule,aka juwa kama Yesu ikondani ya nyumba ya ya nyumba ya farisayo aka ingiya ndani na chapa yake mafuta ya beyi. \v 38 Aka sibama nyuma ya Yesu pembeni ya mikulu yake, akaliya sana na machozi yake ika mwangika ku mikulu ya Yesu kama vile mayikisha aka anza kupnguza ayo na nyewele yake kisha akabeba mafuta ya beyi kamli aka mupakala Yesu ku mikalu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 39 Na ule farisayo aliye mwalika Yesu, wakati alipaona ivi akasema ndani ya roho yake, kama mutu uyu angeli kuwa kuwa nabii, kama anzeli tambuwa hari ya mwanamuke uy kama ni nani ao ni mkutu wa haina gani anaye mugusa, kwa sababu ni mwenye kujazwa zambi \v 40 .Yesu aka jibu na kumwambya Simoni niko naneno ya kukwambiya akasema « Sema tu mwalimu.»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 41 Yesu akasema, kulikuwa na tajiri moya aliye kopesha butu mbili na ndenisana na wa pili alikuwa ndeni kidogo. \v 42 Lakini haba kuwa na gisi yakulipaiyo madeni, namwenye feza aka bahurumiya bote mbili, kati ya batu aba bawili nani atafurayi na kupenda zaudi. \v 43 Simoni akasema ni ule alikuwa na ndeni ya mingi zaudi, Yesu akasema naye: « una weza»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 44 Kisha Yesu aka geuka na aka mwangaliya mwanamuke ule, kisha akasema na Simoni una ona mwana muke uyu, nilingiya ndani ya nyumba yako lakini ahukinipatishiya mayi juu ya kuosha mikulu yangu, lakini yeye ana niokesha kwa machozi yake, alilombanisha mikulu yangu na akaipa nguza na nyele yake \v 45 Haukunibusu lakini yeye ana nibusu kumikulu yangu
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 46 Haukunipakala mafuta kumikulu yangu, lakini yeye ana nipa kala mafuta kumikulu na mafuta ya beyi kali. \v 47 Kwa sababu yake, nakwambiya kama alikuwa na zambi mingi sasa ivi yote inasemahewa kwa sababou ana onesha upendo wake kubwa, lakini kwa ule mwenye kuwa na upendo kidogo na ana samehewa kidogo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 48 Kisha akisema na mwanamuke«zambi yako ina samehewa.» \v 49 Bale alikuwa na kula nabopa meza baka anza kusemezana huyu ni mutu wanamunagani ? Mwenye kuwa na uwezo ya ku samehe zambi? \v 50 Na Yesu aka mxambiya mwanamuke imani yako ina kuponesha, kwenda na amani.»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 19 \v 1 Yesu akaingiya na kitiya Yeriko. \v 2 Mulikuwa mutu moya mutadjiri, kiogozi ua walipasha kodi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 3 Ali penda kumuona Yesu, lakini hakuweza sababu ya bwinyi ya watu, na alikuwa mufupi sana. \v 4 Akatangalia mbele ya watu, kubandaku muti ya mkuyu juu ya kuweza kumuona Yesu, sababu alipashua kupiaya pale.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 5 Wakati Yesu alifika pale , akangaliya juu na kumwambiya: «Zakayo, shuka haraka, leo inapashua ni ikale kwako. \v 6 Akashuka haraka na furaha. \v 7 Kwa kuona yote ile, wote wakaanza kunungunika, wakasema « Anaenda kuikala mu nyumba ya mutu wa zambi.»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 8 Zakayo akasimama mbrle ya Yesu na kusema: «bwana, ona , na wapa nusu ya mali yangu wa masikini, na kama nalimu nyangasa pesa ya mutu, nita murudishaya pesa lake mara ine. \v 9 Yesu akasema: Leo wakavu imeingiya ndani ya nyumba hiyi. \v 10 Sababu mutoto ya Arahamu. Sababu Mutoto ma Mutu alikuya kutafuta na kuwokawa wapotevu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 11 Vile walikuma nasikiya iyi maneno, akaendeleya kusema na leta mufane, sababu alikuwa karibu na Yerusalema, na walikuwa na amini ya kwamba ufalme wa mbingu ilipasha kutoka mara moya. \v 12 Alisema tena: «Mutu wa heshima alienda kwa inchi ya mbali kwa kupenda ufalme na ata rudiya nyuma.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 13 Akiita watumishi kumi kati ya watumishi wake na aka wapa pesa kumi, na akasema: « Muitumikishe mpoka nita rudiya.» \v 14 Lakini wakaaji wa inchi walimuchukiyaka, na atuma wajumbe nyuma yake na kusema: «Hatupedi mutu uyu atawale juu yetu.» \v 15 Akafinika kwa kusudi kwake kisha kupokeya ufalme wake akaamba watumisha atiya pesa, sababu ya juwa ngisi kila mumoja ilipo tumikisha na kupata faïda.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 16 Wakwanza akafika mbele yake: «Bwana, pesa yako inazala pesa ingine kunai.» \v 17 Muheshimimwa akamwambiya: «Mutumishi mwema, ni vizuri. Sababu akamwaminifu mu biku kidogo, na utangaza miyi kumi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 18 Wapili aka kuya, na alimuammbiiya: Bwana pesa yako inazala pesa tano. \v 19 Muheshimiwa akamwambiya: beba uongozi ya miji tano.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 20 Mwengine akakuya na akama: Bwana ana pesa yako niliichunga muzuri sana ndani, ya nguo, \v 21 juu ni kuogopa sababu uko mutu mukali. Una bebeka bile haukutumikye tena una ile haukupande
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 22 Muheshimiwa akamwambiya: na kuhukumu kufwatena na masema yako, mutumishi mubaya. Ulijuwa kama niko mutu mukali, na bebaka bile sikutumikiye na miye na vunaka bile sikupande. \v 23 Sababu gani haukuweke pesa yangu mu mbeki, juu kwa kurudi kwangu niichukuwe na faïda?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 24 Kisha muheshimiwa akaambya& wale walisimama pale: mumu nyanganye pesa ile: Namumuongezeye ule eko na pesa kumi. \v 25 Na waka mwambiya: Bwana si eko na pesa ingine kumi.»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 26 Nina wambiya, bat mupiga we ekonakitu, lakini ule haiko na kitubatamwanyanganya na ile kidogo eko nayo. \v 27 Sasa muwalete ma adui wangu, wale hawakupende mimi niwatale na muwauwe bote mbele yangu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 29 Wakati alifikakaribu ya Bethfage na Bethania karibu ya kilima inaitwa mizeituni, akatuma wanafunzi wake mbile, \v 30 akisema: «Ende kwa mugini. Pa kuingiya matakuta mtoto wa punda mutu moja isiyi ikaliya. Mumufungule muni bebeye naye. \v 31 Kama mutu iki uliza juu ya nini muma mufungula? Museme Bwana eko nayo lazima.»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 32 Wake walitumiwa uakaenda na kukuta mutoto wa punda vile Yesu alisema. \v 33 Vile wlikuwa wakifungula mutoto wa punda, benye naye baka sema: « Juu ya nini munamufungula?» \v 34 Waka jibu: «Bwana eko naye lazima.» \v 35 waka mubeba kwa Yesu, wakatupa manguo juu yake na waikalisha Yesu juu yake. \v 36 Walikuwa naenda, wakatandika manguo mu njiya.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 37 Wakati walianza kutelemuka kilima kya mizeituni kundi ya wanafunzi ilianza kufurahi na baka mutuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sabubu yu mambo makubwa waliona, \v 38 wakasema: Abarikiwe mufalme anyekuya kwa jina la bwana, amani binguni na utukufu katika pahali pa juu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 39 Wafarisayo walikuwa pale wakasema: mwalimu shauria wanafunzi wako. \v 40 Yesu aka jibu: Nina waambiya, ata baka nyomaza, majiwe italalamika.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 41 Wakati Yesu alikuwa karibu ya muji mukuu, aliliya. \v 42 Akasema: Kama ungalijuwa iyi maneno, ingekule tena amini lakini sasa imefichama ku macho yako.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 43 Siku ita kuya, ba adui yako batakuzunguluka, na kukupiganisha. \v 44 Waka kuharibisha na watoto waka, habata hacha jiwe juu ya jiwe kwa sababu haukujuwa wakati Mungu alikutembeleya.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 45 Yesu akaingiya ndani hekala, akaanza kufukuza benye babalikuwa nauzisha, \v 46 akabambia: «Ime andikwa, nyumba yangu itakuwa nyumba ya maombi, lakini ninio munai weka nymba ya wezi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 47 Yesu alikuwa nafundisha kila siku ndani ya healu, makuhani makuu, waandikayi, wali tafuta kumuwa, \v 48 habakujujuwe bafanye nini, kwa sababu batu bote balikuwa na musikiliza.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 19
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 20 \v 1 Ilikuwa siku moya ndani ya Hekalu Yesu alikuwanafundisha na kuhubiri, bakubwa ya bakuhani na bamwlimu ya sheria balimufuata na bazee. \v 2 Bakamwambia,Kwa mamalaka gani una fuanya mambo iyi yote ? Wala nani mwenye anakupatia mamlaka hiyo?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 3 Akabajibia: « Nabauliza pia swali moya. Muniambie, \v 4 Ubatizo wa Yohana inatoka mbinguni au kw batu?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 5 Baliwaza ndani yabo benyewe, bakasema, tukijibu inatoka mbinguni, atatuuliza, basi ju ya nini hamukwitika? \v 6 Na tukisema inatoka kwa mutu, batu bote hapa bata tupiga majiwe, kwa sababu bote banaamini kama Yoha alikuwa nabii.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 7 Kisha bakamujibia yaa kama habakujuwa kwenye ilitoka. \v 8 Yesu akabaambia, na miye sitabaambia kama kwa mamlaka gani na fanya mambo hiyi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 9 Anabapatia mfono huyu, mutu moya alipanda shamba ya mizabu, akasafiri mbali na kuabaacha balimayi kazi ya shamba yake. \v 10 Wakati ya mawuno, akatuma mutumishi kwa balimayi ya mizabibu ju bamupatie nusu ya matunda ya mizibu lakini benye kulima mizabibu bakamupiga na bakamurudisha bila matunda.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 11 Anatuma mutumishi mwingine na bakamupiga. \v 12 Anatuma wa tatu, vile vile banamupiga na kumutupa inje.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 13 Mukubwa wa mashamba akasema, nifanye nini ? Nita mutuma mutoto wangu mupendwa. Saa ingine batumueshumia. \v 14 Lakini wakati balimayi mizabu balimwona, bakasemezana benyewe, na bakasema: «Angalieni uyu njo mnishi.Tumuue, ju tubakie na unithi yake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 15 Bakamutosha inje ya mashamba ya mizabibu bakamuua. Kwa hiyo mukubwa atafanya nini? \v 16 Atakuya nakubafuza balimayi mizabibu, na kapatia mashamba kwa bengine. Wakati alisikia ile, bakasema, Mungu anakatala.muponda.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 17 Yesu akabaangalia, akasema, « hiyi maandiko inamaanisha nini?» Lijiwe enye banye ngayi banakatala inakuwa pembeni? \v 18 Mutu yote mwenye atanguka yulu ya lijiwe ile atavunjika, na ule mwenye lijiwe itamuangukiaita
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 19 Njo vile baandishi na bakubwa ya maku hani balitafuta njia ya kumufunga wakati ile, balijuwa ya kama alikuwana sema mfonohuyu ju yabo. Lakini bakaogopa batu. \v 20 Banamuangalia kwa makini, bakatuma bapelilizibenye banajigeuza kama batu ya haki, ju bapate makosa kwa hotuba yake, ju bamupeleke kwa batawala na benye mamlaka.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 21 Nabo bakamuliza, mwalimu, tunayuwa unafundishs mambo ya kweli na enye haishawishiwe na mutu yeyote, lakini unafundisha ukweli kuhusunjia ya Mungu. \v 22 Utuambie inakatiliwa kulipa kodi ya Kaisari, au ?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 23 Yesu alijuwa mutigo yabo, akaambia, \v 24 Munionyeshe dinari. Sura na chapaya nani iko yulu yake ? Bakasema, ya Kaisari.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 25 Nayeye akabaambia, Basi bumupe Kaizari yake, na Mungu bia kwake. \v 26 Baandishi na bakubwa yabakuhani balikosa uwezo ya kukosoa enye alisema mbele ya batu. Bashangala na jibu yake, na habu sema tina kitu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 27 Bamoya ya basandukukayo bakamuenda, bale benye kusema kama hakuna ufufuo. \v 28 . Bakamuliza bakasema, "Mwalimu, Musa alituandikia: « ndugu wa bwana mwenye anakufa, naacha bibi bila mutoto, nduguu wake atmoa bibi ya nduguya, ju amuzalie ndugu yake mutoto»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 29 Lakini, kulikuwa na bandugu saba, wakwanza akaoa, na akakufa bila mutoto. \v 30 Wapili vie vile. Na wa tatu akamoa tena, \v 31 ilikuwa vile vile kwa bote saba, balikufa bila kuza batoto. \v 32 Nyuma kidogo bibi anakufa. \v 33 Siku ya ufufuka atakuwa bibi ya nani? sababu bote balikuwa babwana yake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 34 Yesu akabaambia, Batoto ya dunia hivi banaoa na kuolewa. \v 35 Kakini hakuna kuoa wala kuolewa kwa benye balipata ufufuko ya milele. \v 36 Wala habatakufa tena, ju batakuwa sawa sawa na bamalaika, na bata kuwa batoto ya ufufuo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 37 Benye balikufa banafufuka, Lota Musa alionyesh fasi katika habari ya kichaka, pale alimwita Mfalme Mungu wa Ibrahimu na Mungu ya Isaka na Yakobo. \v 38 Mungu haiko Mungu wa benye balikufa lakini ni Mungu ya batu benye biko bazima, kwa sababu bote banaishi ndani yake»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 39 Bamoja ya bamwalimu ya bana sheria baka mujibia, " Mwalimu, unajibu muzuri. \v 40 Habakupima tena ku muliza maswali nyingine.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 41 Yesu akabaambia, "juya nini banasema kama Kristu ni mutotot ya Daudi?» \v 42 Kwa kuwa Daudi yeye peke anasema ndani ya kitabu kya zaburi: Mfulame amamwambia Mfalme wangu: Ikala ku mukono ya kiume yangu, \v 43 mpaka niangushe baaduiyako chini ya mikulu yako. \v 44 Daudianamwita Kristo Mfalme, basi atakuya Mutoto wa Daudi?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 43 Mpaka niangushe baadui yako chini ya mikulu yako. \v 44 Daudi anamwita Kristo Mfalme , basi ata kuya Mutoto wa Daudi?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 45 Wakati batu balikuabana musikiliza, akabaambia banafunzi bake. \v 46 «Mujichuge na baandishi, benye bana tembea na manguo mirefu, na bana pende kayionyesha ku macho ya batu mingi, na banapenda makiti ya heshima ku ma sinagogi na mafasi ya heshima ku mafeti \v 47 Banamuke banyumba ya bayane, na banaomba mulefu. Batapata hukumu kabambi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 47 \v 48 Banakula banyumba ya bayane, na banaomba mulefu. Batapata hukumu kabambi»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 20
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 23 \v 1 Batu bote kakasibama, na bakamupeleka Yesumbele ya Pilato. \v 2 Baka anza kumusitaki, kusema, tuna mukata mutu uju eke na danganya batu bote ya taifa yatu, na eko na kataza batu basilipe mpaku ya mufalme mukubwa wa Roma, na, anajita Mesiya mufalm wetu
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 3 Pilato aka muliza wenye uko mufalme wabayuda? Yesu aka mujibu, weye mwenyewe una isha kusema. \v 4 Kisha Pilato akasema na bakubwa ya makuhani pia na batu bote balikuwa pale sione kosa ata moya ya kumupa mutu uyu malipizi. \v 5 Bote bakatiya makelele naku sema, ye eko ndanganya batu na mahubiri yake, kwasababu, batu, batomboke, anatokeya Galilaya, akapita Yudeya muzima na sasa ana fika tii apa.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 6 Wakati Pilato akisikiya mambo iyi, aka uliza mutu ule alikuwa wa Galilaya. \v 7 Nawakati alisikiya kama Yesu eko mutu wamugini ya Heroda, naye aka mutuma kwa mufalalme Herode, kwasababu masiku ile alikuwa Yerusalema.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 8 wakati Herode ali mona Yesu aka furayi sana kwa sababu alisikiya abari ya Yesu na toka zamani alikuwa naniya kumuhona, alikuwa nawazakama Yesu atafanya miugiza mbele yake. \v 9 Kisha Herode aka miliza Yesu,maulizo mingi lakini Yesu akamujibu ata neno moya. \v 10 Bakubwa pale baka musitaki sana na kulalamika.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 11 Herode na ba askari bake baka mucheka sana Yesu na baka muzasau, baka muvalisha nguwo moya ya muzuri kama vile mufalme, kisha baka murudisha kwa Pilato. \v 12 Kutokeya siku ile Herode na Pilato ba kanza kusikilizana, kwa sababu toka zamani bali kuwaka bahaduyi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 13 Pilato akaita tena bakuhani bote na ba chungazi ya batu. \v 14 Aka baambiya mwenye muna nileta mutu uyu na muna sema eko na danganya batu, namuliza mbele yenu, lakini sione atakosa moya ta kumupa mutu uyu mali pizi ya mambo yote muko na mustakiya.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 15 Mfalme Herode naye akumona ata nakosamoya, njo komona ana murudisha kwangu, na myambiya kweli mutu huyu hana nakosa, hata moya ya ku muwa. \v 16 Njo lakini, nitamu pikisha mpaka fimbo, kisha nita mwachiliya. \v 17 Pilato alipenda kubatosheya mufungwa moya pale pa feti, kama vile desturi yabo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 18 Lakini bote baka lalamika utwachiye Barabasi, lakini umuwe Yesu. \v 19 Na Barabasi alifungiwaka kwa sababu ya kutomboka na kijambaza kyake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 20 Pilatoakaba uliza tena mara ya pili kwa sababu alipenda kumwacha Yesu. \v 21 Na bote bakalalamika kwa nguvu, umutunduke kumusalama, atundikiwe kumusalaba akufe. \v 22 Pilato akabauliza tena mara ya tatu, mambo kani ya mubaya yenyewe ana fanya? Miye sione ata kosa moya kwake yenyewe ana fanya ya kuweza kumuhuwa, njo kwamanita mupikisha tu fimbo na kisha nita mwacha.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 23 Bote bakaendeleya kulalamika na nguvu sana, bamu tundike Yesu kumusalaba, na kulalamika kwabo kuka mukosesha pilato kimya. \v 24 Na Pilato akikata mambo vile bote balipenda. \v 25 Aka acha Barabasi mufunguwa yule aliye uwa na aka bapatishiya Yesu kumi kono yabo , kwasababu ba fanye naye gisi bopeke banapenda .
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 26 Wakati ba askari balianza kwenda na Yesu ndani ya njiya baka kutana na mutu moya wa mungini Sirene, jina yake Simoni alitoka kumashamba na bakamukamata, nakumubebesha musalaba wa yesu na amufwate nao nyuma.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 27 Batu mingi balikuwa na mufwata banamuke balikuwa, naliya nguvu sana juu ya Yesu. \v 28 Yesu akageuka angaliya akisema, ba mama ya Yeruzasalama, Musiliye juu yangu, lakini mujililiye juu yenu na juu ya batoto yenu.
|
Some files were not shown because too many files have changed in this diff Show More
Loading…
Reference in New Issue