\v 29 Wakati alifikakaribu ya Bethfage na Bethania karibu ya kilima inaitwa mizeituni, akatuma wanafunzi wake mbile, \v 30 akisema: «Ende kwa mugini. Pa kuingiya matakuta mtoto wa punda mutu moja isiyi ikaliya. Mumufungule muni bebeye naye. \v 31 Kama mutu iki uliza juu ya nini muma mufungula? Museme Bwana