\c 22 \v 2 Ilikuwa siku moya ndani ya Hekalu Yesu alikuwanafundisha na kuhubiri, bakubwa ya bakuhani na bamwlimu ya sheria balimufuata na bazee. \v 1 Bakamwambia,Kwa mamalaka gani una fuanya mambo iyi yote ? Wala nani mwenye anakupatia mamlaka hiyo