swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/40.txt

1 line
382 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 40 Wakati Yesu ali rudiaka ngambo ya kule alitoka, batu mingi bana mupokelea, juu bali anza kumu ongelea. \v 41 Mutu anaitwa Yairo, mu muja kati ya biongozi ya sinagogi. Aka anguka ku mikulu ya Yesu na aka mubembelesha aende naye kwake. \v 42 Juu mutu yake mwana muke, moya tu alizal, wa myaka kumi na mbili, eko karibu na kufa pale Yesu eko na ende kule, kikundi kikamu zunguka.