swc_1ti_text_reg/06/01.txt

1 line
420 B
Plaintext

\c 6 \v 1 Bote benye biko chini ya bakubwa sawa na batuna , bakamate bakubwa yabo na heshima yote . Banapaswa kwyafanya kwa yili jima ya Mungu na mafumolisho isitukane. \v 2 Na batumwa benye bakubwa yabo bike baaminufu , basi bakosee heshima, kwa kusema kama biko bandugu ; lakini inadidi babatumikie kwa sababu bakubwa benye banasailiwa na kazi yabo biko baaminifu na banapendwa . Ufundishe, na ubaenyneshe haya mambo .