\v 21 Nasema mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu, na mbele ya malaika bateule, musifanye neno hiyi na kuhukumu kwa kuchagua na upendeleo. \v 22 Usitilie mutu mikono kwa mbio, ju usichange pa moya na dhambi ya mutu mwengine. Ujichunge safi.