swc_1ti_text_reg/05/14.txt

1 line
350 B
Plaintext

\v 14 Ni mapenda bababinti biyana baolewe na bazale batoto, na baonoze banyumba yabo ju basimupatie adui wakati ya kutuchangea kama tunafanya mubaya. \v 15 Kwa maana bengine tayari banageuka ju ya kumufuata shetani. \v 16 Mwana muke muaminifu mwenye iko na bamjane kwake, abasaidie yeye mwenye ju isikuwe muziko ya kanisa na asaidie bamjane ya kweli.