swc_1ti_text_reg/05/07.txt

1 line
201 B
Plaintext

\v 7 Na ubaambie maneno hiyi ju basibakute na makosa. \v 8 Lakini mutu yote mwenye hatunzi bakake na kuziedi sana bale ba familia yaku, ule mutu anakatala imani na anashinda hata yule mwenye hakuamini.