\v 5 Kwa hiyo mumjane ya kweli, mwenye anabakia yeye beke na anatia kitumaini yake kwa Mungu. Na agawiye busiku na muchana na bili na maombi. \v 6 Lakini mujame mwenye anaishi ju ya kufunaisha mwili yake, alishakufa hata kama angali muzima.