swc_1ti_text_reg/03/01.txt

1 line
400 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Hii neno niya mahana na kweli, kama mtu ana penda kuwa muze wa kanisa, ana chaguwa kazi mzuri. \v 2 Ina lomba na Mze asikuwe na mfano mubaya. Ina mulomba akuwe bwana mke moya, mtu wa kushusha roho, wa kusema paka kweli, kwa matendo ya muzuri wa kika ribisha bageni, na ana juwa kufundisha. \v 3 Asi kunye pombe, asikiwe mtu wa bukonvi, asikuwe mtu wa nvita na batu, asikuwe na tama ya feza.