swc_1ti_text_reg/03/01.txt

1 line
748 B
Plaintext
Raw Normal View History

\c 3 Hii neno niya mahana na kweli, kama mtu ana penda kuwa muze wa kanisa, ana chaguwa kazi mzuri. 2Ina lomba na Mze asikuwe na mfano mubaya. Ina mulomba akuwe bwana mke moya, mtu wa kushusha roho, wa kusema paka kweli, kwa matendo ya muzuri wa kika ribisha bageni, na ana juwa kufundisha. 3Asi kunye pombe, asikiwe mtu wa bukonvi, asikuwe mtu wa nvita na batu, asikuwe na tama ya feza. 4Ina mulomba a juwe kuongoza nyumba yake mwenyewe, ku eshimisa batoto yake na eshima ya kweli. 5Lakini kama mtu awezi kuongoza nyumba yake mwenyewe je ata ongoza kanisa la Mungu? 6Asikuwe mwa minifu wa sasa ju asianguke mu uku wa ma jivuno, na kuanguka mu iyi kibaya. 7Ina mulomba akuwe na ushuuda muzuri na batu ba inje, ju asikuanguke na mitezo ya shietani.