sw_pro_text_reg/29/23.txt

1 line
189 B
Plaintext

\v 23 Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima. \v 24 Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.