sw_pro_text_reg/28/25.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 25 Mtu mwenye tamaa huchochea mafarakano, bali anayemtumaini Yehova atafanikiwa. \v 26 Yule anayeutumaini moyo wake mwenyewe ni mpumbavu, bali anayekwenda kwa hekima atajilinda mbali na hatari.