sw_pro_text_reg/26/27.txt

1 line
179 B
Plaintext

\v 27 Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma. \v 28 Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.