sw_pro_text_reg/24/32.txt

1 line
244 B
Plaintext

\v 32 Kisha nikaliona na kufikiria juu yake; nikatazama na kupokea mafundisho. \v 33 Kulala kidogo, kusinzia kidogo, kupumzika kwa kukunja mikono kidogo- \v 34 na umasikini huja kwa kutembea juu yako, na mahitaji yako kama askari mwenye silaha.