sw_pro_text_reg/24/24.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 24 Anayemwambia mwenye hatia, " Wewe upo sawa," atalaaniwa na watu na mataifa yatamchukia. \v 25 Bali wenye kuwakemea waovu watakuwa na furaha na zawadi za wema zitakuja kwao.