sw_pro_text_reg/22/28.txt

1 line
182 B
Plaintext

\v 28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka. \v 29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.