sw_pro_text_reg/22/20.txt

1 line
184 B
Plaintext

\v 20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa, \v 21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?