sw_pro_text_reg/22/09.txt

1 line
179 B
Plaintext

\v 9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini. \v 10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.