sw_pro_text_reg/22/07.txt

1 line
171 B
Plaintext

\v 7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha. \v 8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.