sw_pro_text_reg/22/03.txt

1 line
187 B
Plaintext

\v 3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake. \v 4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.