sw_pro_text_reg/20/19.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 19 Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana. \v 20 Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.