sw_pro_text_reg/19/17.txt

1 line
170 B
Plaintext

\v 17 Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya. \v 18 Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.