sw_pro_text_reg/19/11.txt

1 line
188 B
Plaintext

\v 11 Busara humfanya mtu achelewe kukasirika na utukufu wake ni kusamehe kosa. \v 12 Ghadhabu ya mfalme ni kama muungurumo wa simba kijana, bali fadhila yake ni kama umande kwenye majani.