sw_pro_text_reg/19/01.txt

1 line
213 B
Plaintext

\c 19 \v 1 Bora mtu masikini ambaye huenenda katika uadilifu wake kuliko mwenye ukaidi katika maneno yake na ni mpumbavu. \v 2 Tena, si vizuri kuwa na hamu bila maarifa na mwenye kukimbia haraka sana hukosea njia.